Habari Zilizo Ndani
15/01/2012
© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote ni za wachapishaji.
Gazeti La Funzo
HABARI ZA KUJIFUNZA
TAREHE 27/2–4/3/2012
Wakristo wa Kweli Wanaliheshimu Neno la Mungu
UKURASA WA 4 • NYIMBO: 113, 116
TAREHE 5-11/3/2012
Mufano wa Mitume wa Yesu wa Kuendelea Kukesha Unatufundisha Nini?
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 125, 43
TAREHE 12-18/3/2012
Mambo Tunayojifunza Kutokana na ‘Picha ya ile Kweli’
UKURASA WA 16 • NYIMBO: 107, 13
TAREHE 19-25/3/2012
Tumutolee Yehova Zabihu Zetu kwa Nafsi Yote
UKURASA WA 21 • NYIMBO: 66, 56
TAREHE 26/3–1/4/2012
Ukuhani wa Kifalme Utakaowaletea Wanadamu Wote Baraka
UKURASA WA 26 • NYIMBO: 60, 102
KUSUDI LA HABARI ZA KUJIFUNZA
HABARI YA 1 UKURASA WA 4-8
Habari hii inaonyesha jinsi kwa muda wa miaka mingi, Wakristo waaminifu wamejiacha waongozwe na Neno la Mungu. Habari hii inakazia pia andiko la mwaka wa 2012.
HABARI YA 2 UKURASA WA 9-13
Habari hii inazungumuzia mambo matatu ambayo tunaweza kujifunza kutoka kwa mitume na Wakristo wengine wa wakati wao, kuhusu jinsi ya kuendelea kukesha. Funzo hilo linapaswa kutuchochea zaidi tuazimie kutoa ushahidi kamili kuhusu Ufalme wa Mungu.
HABARI YA 3, NA YA 4 UKURASA WA 16-25
Sheria ya Musa iliwaomba Waisraeli wamutolee Yehova zabihu nyakati fulanifulani. Wakristo hawafungwi na Sheria hiyo. Hata hivyo, kanuni zinazopatikana katika Sheria hiyo zinatusaidia tuelewe kwamba Yehova anatazamia sisi watumishi wake leo tuonyeshe shukrani kwa sababu ya mambo ambayo ametufanyia. Habari hizi zitatufasiria mambo hayo.
HABARI YA 5 UKURASA WA 26-30
Jambo ambalo wanadamu wanahitaji sana ni kupatanishwa na Mungu. Habari hii inazungumuzia jinsi ukuhani wa kifalme utakavyowezesha kutimizwa kwa upatanisho huo, na itafasiria jinsi unaweza kufaidika.
HABARI ZINGINE
3 Gazeti la Funzo, Mambo Yamebadilika!
14 ‘Namna Gani Nitaweza Kuhubiri?’
15 Kufanya Wakati wa Funzo Uwe Wenye Kufurahisha Zaidi na Wenye Faida Zaidi
31 Vitu vya Maana Sana vya Historia Yetu
JALADA: Kwenye soko katika San Cristóbal de las Casas, Mexique. Mapainia, mume na muke ambao walijifunza luga ya Tzotzil, wanahubiria familia moja ya Wameksiko
MEXIQUE
HESABU YA WATU
108,782,804
HESABU YA WAHUBIRI
710,454
KAZI YA KUTAFSIRI
Luga za kienyeji 30