Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 4/12 uku. 7
  • Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2012
Huduma Yetu ya Ufalme—2012
km 4/12 uku. 7

Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi

Maulizo yanayofuata yatatumiwa kwenye Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi katika juma tokea tarehe 30 mwezi wa 4, 2012. Tarehe inayoonyesha juma ambalo kila wazo litazungumuziwa inaonyeshwa ili mutafute majibu munapojitayarisha kwa ajili ya masomo kila Juma.

1. Kwa nini kitabu cha Yeremia ni chenye faida kwetu? [Juma tokea tarehe 5 mwezi wa 3, si uku. 129 fu. 36]

2. Namna gani Yehova anaweza kutukomboa kutoka katika mateso leo? (Yer. 1:8) [Juma tokea tarehe 5 mwezi wa 3, w05 15/12 uku. 23 fu. 18]

3. Wakati gani na namna gani watiwa-matufa walirudi kwenye “barabara za zamani za kale”? (Yer. 6:16) [Juma tokea tarehe 12 mwezi wa 3, w05 1/11 uku. 24 fu. 12]

4. Kwa nini tunaweza kusema kwamba kuna “zeri katika Gileadi” leo? (Yer. 8:22) [Juma tokea tarehe 19 mwezi wa 3, w10 1/6 uku. 22 fu. 3–uku. 23 fu. 3]

5. Ni katika maana gani Yehova ‘anajuta’ baada ya kutoa hukumu? (Yer. 18:7, 8) [Juma tokea tarehe 2 mwezi wa 4, jr uku. 151, kisanduku]

6. Namna gani Yehova alimupumbaza Yeremia, na tunajifunza nini kutokana na hilo? (Yer. 20:7) [Juma tokea tarehe 2 mwezi wa 4, jr uku. 36 fu. 8]

7. Ni katika maana gani maadui wa Israeli walitakaswa? (Yer. 22:6-9) [Juma tokea tarehe 9 mwezi wa 4, it-1-F uku. 1039 fu. 1]

8. Kwa nini Yehova aliambia taifa lake la zamani, ‘nimekuvuta kwa fazili zenye upendo’? (Yer. 31:3) [Juma tokea tarehe 23 mwezi wa 4, jr uku. 142-145 fu. 8-11]

9. Namna gani sheria ya Mungu imeandikwa katika mioyo? (Yer. 31:33) [Juma tokea tarehe 23 mwezi wa 4, w07 15/3 uku. 11 fu. 2]

10. Ni nini lililokuwa kusudi la kuandika hati mbili za makubaliano yaleyale? (Yer. 32:10-15) [Juma tokea tarehe 30 mwezi wa 4, w07 15/3 uku. 11 fu. 3]

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine