Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi
Maulizo yanayofuata yatatumiwa kwenye Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi katika juma tokea tarehe 30 mwezi wa 4, 2012. Tarehe inayoonyesha juma ambalo kila wazo litazungumuziwa inaonyeshwa ili mutafute majibu munapojitayarisha kwa ajili ya masomo kila Juma.
1. Kwa nini kitabu cha Yeremia ni chenye faida kwetu? [Juma tokea tarehe 5 mwezi wa 3, si uku. 129 fu. 36]
2. Namna gani Yehova anaweza kutukomboa kutoka katika mateso leo? (Yer. 1:8) [Juma tokea tarehe 5 mwezi wa 3, w05 15/12 uku. 23 fu. 18]
3. Wakati gani na namna gani watiwa-matufa walirudi kwenye “barabara za zamani za kale”? (Yer. 6:16) [Juma tokea tarehe 12 mwezi wa 3, w05 1/11 uku. 24 fu. 12]
4. Kwa nini tunaweza kusema kwamba kuna “zeri katika Gileadi” leo? (Yer. 8:22) [Juma tokea tarehe 19 mwezi wa 3, w10 1/6 uku. 22 fu. 3–uku. 23 fu. 3]
5. Ni katika maana gani Yehova ‘anajuta’ baada ya kutoa hukumu? (Yer. 18:7, 8) [Juma tokea tarehe 2 mwezi wa 4, jr uku. 151, kisanduku]
6. Namna gani Yehova alimupumbaza Yeremia, na tunajifunza nini kutokana na hilo? (Yer. 20:7) [Juma tokea tarehe 2 mwezi wa 4, jr uku. 36 fu. 8]
7. Ni katika maana gani maadui wa Israeli walitakaswa? (Yer. 22:6-9) [Juma tokea tarehe 9 mwezi wa 4, it-1-F uku. 1039 fu. 1]
8. Kwa nini Yehova aliambia taifa lake la zamani, ‘nimekuvuta kwa fazili zenye upendo’? (Yer. 31:3) [Juma tokea tarehe 23 mwezi wa 4, jr uku. 142-145 fu. 8-11]
9. Namna gani sheria ya Mungu imeandikwa katika mioyo? (Yer. 31:33) [Juma tokea tarehe 23 mwezi wa 4, w07 15/3 uku. 11 fu. 2]
10. Ni nini lililokuwa kusudi la kuandika hati mbili za makubaliano yaleyale? (Yer. 32:10-15) [Juma tokea tarehe 30 mwezi wa 4, w07 15/3 uku. 11 fu. 3]