Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi
Maulizo yanayofuata yatatumiwa kwenye Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi katika juma tokea tarehe 28, Mwezi wa 10, 2013.
1. Inamaanisha nini kuwa na “akili ya Kristo”? (1 Kor. 2:16) [Juma tokea tarehe 2 Mwezi wa 9, w08 15/7 uku. 27 fu. 7]
2. ‘Tunakimbia uasherati’ katika njia mbalimbali gani? (1 Kor. 6:18) [Juma tokea tarehe 2 Mwezi wa 9, w08 15/7 uku. 27 fu. 9; w04 15/2 uku. 12 fu. 9]
3. Paulo alitaka kusema nini alipoandika kwamba wanawake wanapaswa ‘kukaa kimya katika makutaniko’? (1 Kor. 14:34) [Juma tokea tarehe 9 Mwezi wa 9, w12 1/9 uku. 9, kisanduku]
4. Maneno ya Paulo yaliyo katika 2 Wakorintho 1:24 yanaweza kuwasaidia namna gani wazee leo? [Juma tokea tarehe 16 Mwezi wa 9, w13 15/1 uku. 27 fu. 2-3]
5. Namna gani tunaweza kuongozwa na maneno yaliyo katika 2 Wakorintho 9:7? [Juma tokea tarehe 23 Mwezi wa 9, g 5/08 uku. 21, kisanduku]
6. Kufuata shauri la Paulo lililo katika Wagalatia 6:4 kunaweza kutufaidi namna gani? [Juma tokea tarehe 30 Mwezi wa 9, w12 15/12 uku. 13 fu. 18]
7. ‘Kuushika umoja wa roho’ kunamaanisha nini? (Efe. 4:3) [Juma tokea tarehe 7 Mwezi wa 10, w12 15/7 uku. 28 fu. 7]
8. Paulo aliona namna gani mambo aliyoacha nyuma? (Flp. 3:8) [Juma tokea tarehe 14 Mwezi wa 10, w12 15/3 uku. 27 fu. 12]
9. Shauri la ‘kutoendelea kulala usingizi kama wengine,’ linatusaidia namna gani? (1 Thes. 5:6) [Juma tokea tarehe 21 Mwezi wa 10, w12 15/3 uku. 10 fu. 4]
10. Namna gani kifo cha Yesu kilikuwa “fidia (ao zabihu ya ukombozi) inayolingana”? (1 Tim. 2:6) [Juma tokea tarehe 28 Mwezi wa 10, w11 15/6 uku. 13 fu. 11]