Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yakobo 3
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Yakobo—Yaliyomo

      • Kuufuga ulimi (1-12)

        • Wengi hawapaswi kuwa walimu (1)

      • Hekima kutoka juu (13-18)

Yakobo 3:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “kali.”

Marejeo

  • +Lu 12:48

Yakobo 3:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “hufanya makosa.”

Marejeo

  • +1Fa 8:46; Met 20:9; 1Yo 1:8

Yakobo 3:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mzunguko wa uhai (chanzo).”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Met 16:27; Mt 12:36, 37
  • +Zb 39:1; Mt 15:11, 18; Mk 7:23

Yakobo 3:8

Marejeo

  • +Zb 140:3; Met 12:18; 18:7

Yakobo 3:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Mwa 1:26, 27

Yakobo 3:10

Marejeo

  • +Efe 4:29

Yakobo 3:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yasiyo na chumvi.”

Yakobo 3:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “yasiyo na chumvi.”

Marejeo

  • +Mt 7:16

Yakobo 3:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “tamaa ya kupata mambo makuu.”

Marejeo

  • +Ro 13:13; 1Ko 3:3
  • +Efe 4:31
  • +1Ko 13:4

Yakobo 3:15

Marejeo

  • +1Ko 2:14; Flp 3:19

Yakobo 3:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “tamaa ya kupata mambo makuu.”

Marejeo

  • +Met 14:30; Gal 5:19-21

Yakobo 3:17

Marejeo

  • +Ro 12:9; 1Ti 5:1, 2
  • +2Ko 13:11; 1Th 5:13; 2Pe 3:14
  • +1Ti 3:3; Tit 3:2
  • +Gal 5:22, 23
  • +Yak 2:9
  • +1Pe 1:22

Yakobo 3:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “na.”

Marejeo

  • +Isa 32:17; Ebr 12:11
  • +Mt 5:9; 1Pe 3:11

Jumla

Yak. 3:1Lu 12:48
Yak. 3:21Fa 8:46; Met 20:9; 1Yo 1:8
Yak. 3:6Met 16:27; Mt 12:36, 37
Yak. 3:6Zb 39:1; Mt 15:11, 18; Mk 7:23
Yak. 3:8Zb 140:3; Met 12:18; 18:7
Yak. 3:9Mwa 1:26, 27
Yak. 3:10Efe 4:29
Yak. 3:12Mt 7:16
Yak. 3:14Ro 13:13; 1Ko 3:3
Yak. 3:14Efe 4:31
Yak. 3:141Ko 13:4
Yak. 3:151Ko 2:14; Flp 3:19
Yak. 3:16Met 14:30; Gal 5:19-21
Yak. 3:17Ro 12:9; 1Ti 5:1, 2
Yak. 3:172Ko 13:11; 1Th 5:13; 2Pe 3:14
Yak. 3:171Ti 3:3; Tit 3:2
Yak. 3:17Gal 5:22, 23
Yak. 3:17Yak 2:9
Yak. 3:171Pe 1:22
Yak. 3:18Isa 32:17; Ebr 12:11
Yak. 3:18Mt 5:9; 1Pe 3:11
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Yakobo 3:1-18

Barua ya Yakobo

3 Ndugu zangu, si wengi kati yenu wanaopaswa kuwa walimu mkijua kwamba tutapokea hukumu nzito* zaidi.+ 2 Kwa maana sisi sote hujikwaa* mara nyingi.+ Ikiwa yeyote hajikwai katika neno, huyo ni mtu mkamilifu, anayeweza kuuongoza kwa lijamu mwili wake wote pia. 3 Tunapoweka lijamu katika vinywa vya farasi ili watutii, sisi huuongoza mwili wao wote pia. 4 Tazameni hata meli: Ingawa ni kubwa sana nazo huendeshwa na upepo mkali, zinaongozwa na mtambo wa usukani ulio mdogo sana ili kwenda popote ambapo mtu aliye kwenye usukani anataka.

5 Vivyo hivyo pia, ulimi ni kiungo kidogo cha mwili na bado hujigamba sana. Tazameni jinsi moto mdogo unavyoweza kuteketeza msitu mkubwa! 6 Ulimi pia ni moto.+ Kati ya viungo vya mwili wetu, ulimi unawakilisha ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu, kwa maana unautia mwili wote+ unajisi na kuwasha moto maisha yote* nao huwashwa moto na Gehena.* 7 Kwa maana kila aina ya mnyama wa mwituni, ndege, mnyama anayetambaa, na kiumbe wa baharini anaweza kufugwa na wamefugwa na wanadamu. 8 Lakini hakuna mwanadamu anayeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kitundu chenye kudhuru, kilichojaa sumu yenye kuua.+ 9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+ 10 Baraka na laana hutoka katika kinywa kilekile.

Ndugu zangu, haifai mambo yatendeke hivyo.+ 11 Je, chemchemi inaweza kutoa katika shimo lilelile maji matamu* na pia machungu? 12 Ndugu zangu, je, mtini unaweza kuzaa zeituni au mzabibu kuzaa tini?+ Maji ya chumvi hayawezi kutokeza maji matamu.*

13 Ni nani mwenye hekima na uelewaji kati yenu? Na aonyeshe kwa mwenendo wake mzuri matendo yanayofanywa kwa upole unaotokana na hekima. 14 Lakini ikiwa mna wivu mkali+ na ugomvi*+ mioyoni mwenu, msiwe mkijigamba+ na kusema uwongo kuhusu ile kweli. 15 Hii siyo hekima inayoshuka kutoka juu; bali ni ya kidunia,+ ya kinyama, na ya roho waovu. 16 Kwa maana palipo na wivu na ugomvi,* pana machafuko pia na kila jambo baya.+

17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+ 18 Zaidi ya hayo, tunda la uadilifu hupandwa katika hali zenye amani+ kwa* wale wanaofanya amani.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki