Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 78
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Zaburi—Yaliyomo

      • Utunzaji wa Mungu na ukosefu wa imani wa Waisraeli

        • Kisimulie kizazi kijacho (2-8)

        • “Hawakudhihirisha imani katika Mungu” (22)

        • “Nafaka ya mbinguni” (24)

        • “Wakamhuzunisha Mtakatifu wa Israeli” (41)

        • Kutoka Misri mpaka Nchi ya Ahadi (43-55)

        • “Waliendelea kumjaribu Mungu” (56)

Zaburi 78:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +1Nya 25:1

Zaburi 78:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mafundisho.”

Zaburi 78:2

Marejeo

  • +Met 1:5, 6; Mt 13:34, 35

Zaburi 78:3

Marejeo

  • +Kut 13:8; Zb 44:1

Zaburi 78:4

Marejeo

  • +Kum 4:9; 6:6, 7, 21; 11:18, 19; Yos 4:6, 7
  • +Isa 63:7
  • +Zb 98:1

Zaburi 78:5

Marejeo

  • +Mwa 18:19; Kum 6:6, 7

Zaburi 78:6

Marejeo

  • +Zb 71:17, 18; 102:18
  • +Kum 4:10

Zaburi 78:7

Marejeo

  • +Kum 4:9; Zb 103:2
  • +Kum 5:29

Zaburi 78:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ambao haujatayarishwa.”

Marejeo

  • +Kut 32:9; Kum 1:43; 31:27; 2Fa 17:13, 14; Eze 20:18; Mdo 7:51
  • +Zb 81:11, 12; Yer 7:24-26

Zaburi 78:10

Marejeo

  • +Kum 31:16
  • +2Nya 13:8, 9; Ne 9:26

Zaburi 78:11

Marejeo

  • +Kum 32:18; 2Nya 13:12; Yer 2:32
  • +Zb 106:21, 22

Zaburi 78:12

Marejeo

  • +Kum 4:34; Ne 9:10
  • +Hes 13:22

Zaburi 78:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “ukuta.”

Marejeo

  • +Kut 14:21, 22; 15:8

Zaburi 78:14

Marejeo

  • +Kut 13:21; 14:20, 24

Zaburi 78:15

Marejeo

  • +Kut 17:6; Hes 20:11; Zb 105:41; Isa 48:21; 1Ko 10:4

Zaburi 78:16

Marejeo

  • +Kum 8:14, 15

Zaburi 78:17

Marejeo

  • +Kum 9:21, 22; Zb 95:8; Ebr 3:16

Zaburi 78:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Walimtahini.”

  • *

    Au “chakula kwa ajili ya nafsi yao.”

Marejeo

  • +Zb 106:14

Zaburi 78:19

Marejeo

  • +Kut 16:8

Zaburi 78:20

Marejeo

  • +Kut 17:6
  • +Kut 16:3

Zaburi 78:21

Marejeo

  • +Hes 11:10
  • +Ebr 12:29
  • +Hes 11:1

Zaburi 78:22

Marejeo

  • +Zb 106:24; Ebr 3:10; Yud 5

Zaburi 78:24

Marejeo

  • +Kut 16:14, 35; 16:31, 32; Hes 11:7; Kum 8:3; Yoh 6:31; 1Ko 10:2, 3

Zaburi 78:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wa malaika.”

Marejeo

  • +Zb 103:20
  • +Kut 16:12

Zaburi 78:26

Marejeo

  • +Hes 11:31-34

Zaburi 78:29

Marejeo

  • +Hes 11:19, 20

Zaburi 78:31

Marejeo

  • +Hes 11:10
  • +Hes 11:34

Zaburi 78:32

Marejeo

  • +Hes 14:2-4; 25:3; 1Ko 10:8-10
  • +Kut 16:15; Kum 8:14, 15

Zaburi 78:33

Marejeo

  • +Hes 14:29, 35; Kum 2:14

Zaburi 78:34

Marejeo

  • +Hes 21:7; Amu 4:3

Zaburi 78:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Mlipiza-Kisasi.”

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Kut 6:6

Zaburi 78:37

Marejeo

  • +Zb 95:10; Ebr 3:10
  • +Kum 31:20; Yer 31:32

Zaburi 78:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akifunika.”

Marejeo

  • +Kut 34:6; Hes 14:18; Ne 9:31
  • +Hes 14:19, 20; Yer 30:11; Omb 3:22
  • +Ne 9:27; Isa 48:9; Eze 20:9

Zaburi 78:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “Kwamba roho inaenda nayo hairudi.”

Marejeo

  • +Zb 103:14

Zaburi 78:40

Marejeo

  • +Hes 14:11
  • +Isa 63:10; Efe 4:30; Ebr 3:16

Zaburi 78:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wakamtia uchungu.”

Marejeo

  • +Hes 14:22; Kum 6:16; Zb 95:8, 9

Zaburi 78:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Hawakuukumbuka mkono wake.”

  • *

    Tnn., “aliwakomboa.”

Marejeo

  • +Kut 14:30

Zaburi 78:43

Marejeo

  • +Kum 4:34; Ne 9:10; Zb 105:27-36

Zaburi 78:44

Marejeo

  • +Kut 7:19

Zaburi 78:45

Marejeo

  • +Kut 8:24
  • +Kut 8:6

Zaburi 78:46

Marejeo

  • +Kut 10:14, 15

Zaburi 78:47

Marejeo

  • +Kut 9:23

Zaburi 78:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Au labda, “homa kali.”

Marejeo

  • +Kut 9:25

Zaburi 78:50

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Hakulinda nafsi zao zisife.”

Zaburi 78:51

Marejeo

  • +Kut 12:29; Zb 105:36

Zaburi 78:52

Marejeo

  • +Zb 77:20; 105:37

Zaburi 78:53

Marejeo

  • +Kut 14:20; Ebr 11:29
  • +Kut 14:27; 15:10

Zaburi 78:54

Marejeo

  • +Kut 15:17
  • +Zb 44:3

Zaburi 78:55

Marejeo

  • +Yos 24:12; Zb 44:2
  • +Yos 13:7
  • +Ne 9:24, 25

Zaburi 78:56

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kumtahini.”

Marejeo

  • +Kum 31:16; 32:15; Amu 2:11; 2Sa 20:1; Ne 9:26
  • +2Fa 17:15; Yer 44:23

Zaburi 78:57

Marejeo

  • +Kum 9:7; Amu 3:6
  • +Ho. 7:16

Zaburi 78:58

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wivu wake.”

Marejeo

  • +Kum 12:2; Amu 2:2; Eze 20:28
  • +Amu 2:12; 1Sa 7:3

Zaburi 78:59

Marejeo

  • +Amu 2:20

Zaburi 78:60

Marejeo

  • +Yos 18:1; 1Sa 4:11
  • +Yer 7:12

Zaburi 78:61

Marejeo

  • +1Sa 4:21; 5:1

Zaburi 78:62

Marejeo

  • +1Sa 4:2, 10

Zaburi 78:63

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hawakusifiwa.”

Zaburi 78:64

Marejeo

  • +1Sa 2:33, 34; 4:11
  • +1Sa 4:19

Zaburi 78:65

Marejeo

  • +Zb 44:23
  • +Isa 42:13

Zaburi 78:66

Marejeo

  • +1Sa 5:6

Zaburi 78:68

Marejeo

  • +Mwa 49:10
  • +Zb 87:2; 132:13; 135:21

Zaburi 78:69

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Alipajenga mahali pake patakatifu kama vilele.”

Marejeo

  • +Zb 76:2
  • +Zb 104:5; 119:90; Mhu 1:4

Zaburi 78:70

Marejeo

  • +1Sa 16:12, 13
  • +1Sa 17:15

Zaburi 78:71

Marejeo

  • +2Sa 7:8
  • +2Sa 6:21

Zaburi 78:72

Marejeo

  • +2Sa 8:15; 1Fa 3:6; 9:4; 15:5
  • +1Sa 18:14

Jumla

Zab. 78:utangulizi1Nya 25:1
Zab. 78:2Met 1:5, 6; Mt 13:34, 35
Zab. 78:3Kut 13:8; Zb 44:1
Zab. 78:4Kum 4:9; 6:6, 7, 21; 11:18, 19; Yos 4:6, 7
Zab. 78:4Isa 63:7
Zab. 78:4Zb 98:1
Zab. 78:5Mwa 18:19; Kum 6:6, 7
Zab. 78:6Zb 71:17, 18; 102:18
Zab. 78:6Kum 4:10
Zab. 78:7Kum 4:9; Zb 103:2
Zab. 78:7Kum 5:29
Zab. 78:8Kut 32:9; Kum 1:43; 31:27; 2Fa 17:13, 14; Eze 20:18; Mdo 7:51
Zab. 78:8Zb 81:11, 12; Yer 7:24-26
Zab. 78:10Kum 31:16
Zab. 78:102Nya 13:8, 9; Ne 9:26
Zab. 78:11Kum 32:18; 2Nya 13:12; Yer 2:32
Zab. 78:11Zb 106:21, 22
Zab. 78:12Kum 4:34; Ne 9:10
Zab. 78:12Hes 13:22
Zab. 78:13Kut 14:21, 22; 15:8
Zab. 78:14Kut 13:21; 14:20, 24
Zab. 78:15Kut 17:6; Hes 20:11; Zb 105:41; Isa 48:21; 1Ko 10:4
Zab. 78:16Kum 8:14, 15
Zab. 78:17Kum 9:21, 22; Zb 95:8; Ebr 3:16
Zab. 78:18Zb 106:14
Zab. 78:19Kut 16:8
Zab. 78:20Kut 17:6
Zab. 78:20Kut 16:3
Zab. 78:21Hes 11:10
Zab. 78:21Ebr 12:29
Zab. 78:21Hes 11:1
Zab. 78:22Zb 106:24; Ebr 3:10; Yud 5
Zab. 78:24Kut 16:14, 35; 16:31, 32; Hes 11:7; Kum 8:3; Yoh 6:31; 1Ko 10:2, 3
Zab. 78:25Zb 103:20
Zab. 78:25Kut 16:12
Zab. 78:26Hes 11:31-34
Zab. 78:29Hes 11:19, 20
Zab. 78:31Hes 11:10
Zab. 78:31Hes 11:34
Zab. 78:32Hes 14:2-4; 25:3; 1Ko 10:8-10
Zab. 78:32Kut 16:15; Kum 8:14, 15
Zab. 78:33Hes 14:29, 35; Kum 2:14
Zab. 78:34Hes 21:7; Amu 4:3
Zab. 78:35Kum 32:4
Zab. 78:35Kut 6:6
Zab. 78:37Zb 95:10; Ebr 3:10
Zab. 78:37Kum 31:20; Yer 31:32
Zab. 78:38Kut 34:6; Hes 14:18; Ne 9:31
Zab. 78:38Hes 14:19, 20; Yer 30:11; Omb 3:22
Zab. 78:38Ne 9:27; Isa 48:9; Eze 20:9
Zab. 78:39Zb 103:14
Zab. 78:40Hes 14:11
Zab. 78:40Isa 63:10; Efe 4:30; Ebr 3:16
Zab. 78:41Hes 14:22; Kum 6:16; Zb 95:8, 9
Zab. 78:42Kut 14:30
Zab. 78:43Kum 4:34; Ne 9:10; Zb 105:27-36
Zab. 78:44Kut 7:19
Zab. 78:45Kut 8:24
Zab. 78:45Kut 8:6
Zab. 78:46Kut 10:14, 15
Zab. 78:47Kut 9:23
Zab. 78:48Kut 9:25
Zab. 78:51Kut 12:29; Zb 105:36
Zab. 78:52Zb 77:20; 105:37
Zab. 78:53Kut 14:20; Ebr 11:29
Zab. 78:53Kut 14:27; 15:10
Zab. 78:54Kut 15:17
Zab. 78:54Zb 44:3
Zab. 78:55Yos 24:12; Zb 44:2
Zab. 78:55Yos 13:7
Zab. 78:55Ne 9:24, 25
Zab. 78:56Kum 31:16; 32:15; Amu 2:11; 2Sa 20:1; Ne 9:26
Zab. 78:562Fa 17:15; Yer 44:23
Zab. 78:57Kum 9:7; Amu 3:6
Zab. 78:57Ho. 7:16
Zab. 78:58Kum 12:2; Amu 2:2; Eze 20:28
Zab. 78:58Amu 2:12; 1Sa 7:3
Zab. 78:59Amu 2:20
Zab. 78:60Yos 18:1; 1Sa 4:11
Zab. 78:60Yer 7:12
Zab. 78:611Sa 4:21; 5:1
Zab. 78:621Sa 4:2, 10
Zab. 78:641Sa 2:33, 34; 4:11
Zab. 78:641Sa 4:19
Zab. 78:65Zb 44:23
Zab. 78:65Isa 42:13
Zab. 78:661Sa 5:6
Zab. 78:68Mwa 49:10
Zab. 78:68Zb 87:2; 132:13; 135:21
Zab. 78:69Zb 76:2
Zab. 78:69Zb 104:5; 119:90; Mhu 1:4
Zab. 78:701Sa 16:12, 13
Zab. 78:701Sa 17:15
Zab. 78:712Sa 7:8
Zab. 78:712Sa 6:21
Zab. 78:722Sa 8:15; 1Fa 3:6; 9:4; 15:5
Zab. 78:721Sa 18:14
  • Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
  • 56
  • 57
  • 58
  • 59
  • 60
  • 61
  • 62
  • 63
  • 64
  • 65
  • 66
  • 67
  • 68
  • 69
  • 70
  • 71
  • 72
Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
Zaburi 78:1-72

Zaburi

Maskili.* Wa Asafu.+

78 Sikilizeni sheria* yangu, enyi watu wangu;

Tegeni sikio lenu kwa maneno ya kinywa changu.

 2 Nitakifungua kinywa changu kwa methali.

Nitafumbua mafumbo ya zamani za kale.+

 3 Mambo ambayo tumesikia na tunayojua,

Ambayo baba zetu wametusimulia,+

 4 Hatutawaficha wana wao;

Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+

Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+

Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+

 5 Alianzisha kikumbusho katika Yakobo

Na kuweka sheria katika Israeli;

Aliwaamuru mababu zetu

Wawajulishe watoto wao mambo hayo,+

 6 Ili kizazi kijacho,

Watoto ambao hawajazaliwa, wayajue.+

Kisha wao watawasimulia watoto wao.+

 7 Halafu watoto hao watamtumaini Mungu.

Hawatasahau kazi za Mungu+

Lakini watashika amri zake.+

 8 Kisha hawatakuwa kama mababu zao,

Kizazi chenye ukaidi na uasi,+

Kizazi kilichokuwa na moyo unaoyumbayumba*+

Na ambacho hakikuwa na roho ya uaminifu kwa Mungu.

 9 Waefraimu walijihami kwa upinde,

Lakini walikimbia siku ya vita.

10 Hawakushika agano la Mungu+

Nao walikataa kutembea katika sheria yake.+

11 Walisahau pia mambo aliyotenda,+

Kazi zake zinazostaajabisha alizowaonyesha.+

12 Alifanya maajabu mbele ya mababu zao,+

Katika nchi ya Misri, eneo la Soani.+

13 Aliipasua bahari ili kuwaruhusu wavuke,

Naye akayafanya maji yasimame juu kama bwawa.*+

14 Aliwaongoza kwa wingu wakati wa mchana

Na usiku kucha kwa mwangaza wa moto.+

15 Aliipasua miamba nyikani,

Akawanywesha maji ya kutosha kana kwamba yanatoka vilindini.+

16 Alivitoa vijito kutoka kwenye jabali

Na kufanya maji yatiririke chini kama mito.+

17 Lakini waliendelea kumtendea dhambi

Kwa kumwasi jangwani yule Aliye Juu Zaidi;+

18 Walimjaribu* Mungu moyoni mwao+

Walidai wapewe chakula walichotamani.*

19 Kwa hiyo wakalalamika kumhusu Mungu,

Wakisema: “Je, Mungu anaweza kuandaa meza nyikani?”+

20 Tazama! Aliupiga mwamba

Hivi kwamba maji yakatiririka na vijito vikafurika.+

“Je, anaweza pia kutupatia mkate,

Au je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”+

21 Yehova alipowasikia, alikasirika sana;+

Moto+ ukawaka dhidi ya Yakobo,

Na hasira yake ikawaka dhidi ya Israeli+

22 Kwa sababu hawakudhihirisha imani katika Mungu;+

Hawakuutumaini uwezo wake wa kuwaokoa.

23 Basi akaliamuru anga lililo juu lenye mawingu,

Naye akaifungua milango ya mbingu.

24 Akaendelea kuwanyeshea mana ili wale;

Akawapa nafaka ya mbinguni.+

25 Wanadamu wakala mkate wa wenye nguvu;*+

Aliwapa mkate wa kutosha wa kuwashibisha.+

26 Aliuvumisha upepo wa mashariki mbinguni

Na kwa nguvu zake akaufanya upepo wa kusini uvume.+

27 Naye akawanyeshea nyama kama mavumbi,

Ndege kama mchanga kwenye ufuo wa bahari.

28 Aliwaangusha katikati ya kambi yake,

Pande zote kuzunguka mahema yake.

29 Nao wakala na kujilazimisha kula zaidi;

Aliwapa walichotamani.+

30 Lakini kabla hawajatosheleza kikamili tamaa yao,

Chakula kilipokuwa kingali kinywani mwao,

31 Ghadhabu ya Mungu ikawaka dhidi yao.+

Akawaua wanaume wenye nguvu zaidi;+

Aliwaangamiza wanaume vijana wa Israeli.

32 Licha ya hayo walizidi kutenda dhambi+

Nao hawakudhihirisha imani katika kazi zake zinazostaajabisha.+

33 Basi akazikatisha siku zao kana kwamba ni pumzi tu,+

Na miaka yao kwa matukio ya ghafla yenye kutisha.

34 Lakini kila mara alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta;+

Walirudi na kumtafuta Mungu,

35 Wakikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao+

Na kwamba Mungu Aliye Juu Zaidi alikuwa Mkombozi* wao.+

36 Lakini walijaribu kumdanganya kwa kinywa chao

Na kumwambia uwongo kwa ulimi wao.

37 Moyo wao haukuwa imara kumwelekea;+

Nao hawakuwa waaminifu kwa agano lake.+

38 Lakini alikuwa mwenye rehema;+

Alikuwa akiwasamehe* kosa lao, naye hakuwaangamiza.+

Mara nyingi aliizuia hasira yake+

Badala ya kuichochea ghadhabu yake yote.

39 Kwa maana alikumbuka kwamba walikuwa nyama tu,+

Upepo upitao ambao haurudi.*

40 Jinsi walivyomwasi mara nyingi nyikani+

Na kumtia uchungu jangwani!+

41 Walimjaribu Mungu tena na tena,+

Nao wakamhuzunisha* Mtakatifu wa Israeli.

42 Hawakuzikumbuka nguvu zake,*

Siku ambayo aliwaokoa* kutoka kwa adui,+

43 Jinsi alivyoonyesha ishara zake kule Misri+

Na miujiza yake katika eneo la Soani,

44 Na jinsi alivyobadili mifereji ya Nile kuwa damu+

Hivi kwamba hawangeweza kunywa maji kutoka katika vijito vyake.

45 Alituma makundi ya nzi ili yawale+

Na vyura ili kuwaangamiza.+

46 Mazao yao aliwapa parare wanaokula sana,

Matunda ya kazi yao ngumu akayapa makundi ya nzige.+

47 Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe+

Na mikuyu yao kwa mawe ya mvua.

48 Aliwaua kwa mvua ya mawe wanyama wao wa kubeba mizigo+

Na mifugo yao kwa umeme wa radi.*

49 Aliwamwagia hasira yake inayowaka,

Hasira kali na ghadhabu na taabu,

Makundi ya malaika yanayoleta msiba.

50 Alitayarisha njia kwa ajili ya hasira yake.

Hakuwalinda wasife;*

Naye aliwaua kwa ugonjwa hatari.

51 Mwishowe aliwaangamiza wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,+

Mwanzo wa nguvu zao za uzazi katika mahema ya Hamu.

52 Kisha akawatoa nje watu wake kama kundi la kondoo+

Na kuwaongoza nyikani kama kundi la mifugo.

53 Aliwaongoza kwa usalama,

Nao hawakuogopa;+

Bahari iliwafunika maadui wao.+

54 Naye akawaleta katika eneo lake takatifu,+

Eneo hili lenye milima ambalo mkono wake wa kuume ulilitwaa.+

55 Aliyafukuza mataifa kutoka mbele yao;+

Akawagawia urithi kwa kamba ya kupimia;+

Aliyafanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+

56 Lakini waliendelea kumjaribu* Mungu Aliye Juu Zaidi, na kumwasi;+

Hawakusikiliza vikumbusho vyake.+

57 Pia walipotoka na kutenda kwa hila kama mababu zao.+

Hawakutegemeka kama upinde uliolegea usivyotegemeka.+

58 Waliendelea kumkasirisha kwa mahali pao pa juu,+

Nao wakachochea hasira yake kali* kwa sanamu zao za kuchongwa.+

59 Mungu alisikia na kuwaka hasira,+

Kwa hiyo akaikataa kabisa Israeli.

60 Mwishowe akaliacha hema la ibada lililo Shilo,+

Hema alimokaa miongoni mwa wanadamu.+

61 Aliacha ishara ya nguvu zake ipelekwe utekwani;

Fahari yake itiwe mikononi mwa adui.+

62 Aliwatoa watu wake wauawe kwa upanga+

Naye akaukasirikia vikali urithi wake.

63 Moto uliwateketeza kabisa vijana wake wa kiume,

Na mabikira wake hawakuimbiwa nyimbo za harusi.*

64 Makuhani wake waliuawa kwa upanga,+

Na wajane wao hawakulia.+

65 Kisha Yehova akaamka kana kwamba anatoka usingizini,+

Kama mwanamume hodari+ aamkavyo baada ya divai kumtoka.

66 Naye akawakimbiza maadui wake;+

Akawatia aibu ya kudumu.

67 Alilikataa hema la Yosefu;

Hakulichagua kabila la Efraimu.

68 Lakini alichagua kabila la Yuda,+

Mlima Sayuni, anaoupenda.+

69 Alipafanya mahali pake patakatifu pawe mahali pa kudumu kama mbingu,*+

Kama dunia ambayo ameiimarisha milele.+

70 Alimchagua Daudi+ mtumishi wake

Na kumtoa katika mazizi ya kondoo,+

71 Alimwondoa katika kazi ya kuchunga kondoo wanaonyonyesha;

Akamfanya kuwa mchungaji wa Yakobo, watu wake,+

Na wa Israeli, urithi wake.+

72 Aliwachunga kwa utimilifu wa moyo,+

Na kwa mikono stadi aliwaongoza.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki