Mambo ya Walawi 26:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 “‘Nami nitageuka kwenu+ na kuwawezesha kuzaana na kuwazidisha ninyi,+ nami nitatimiza agano langu pamoja nanyi.+ Zaburi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+ Zaburi 118:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kutoka katika hali zenye kutaabisha nilimwitia Yah;+Yah akanijibu na kuniweka katika mahali penye nafasi pana.+
9 “‘Nami nitageuka kwenu+ na kuwawezesha kuzaana na kuwazidisha ninyi,+ nami nitatimiza agano langu pamoja nanyi.+
19 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+
5 Kutoka katika hali zenye kutaabisha nilimwitia Yah;+Yah akanijibu na kuniweka katika mahali penye nafasi pana.+