Zaburi 50:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na uniite katika siku ya taabu.+Nitakuokoa, nawe utanitukuza.”+ Zaburi 107:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao akawaokoa kama kawaida.+ Zaburi 120:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 120 Nilimwita Yehova katika taabu yangu,+Naye akanijibu.+
19 Nao wakaanza kumwomba Yehova msaada katika taabu yao;+Na kutoka katika mikazo iliyokuwa juu yao akawaokoa kama kawaida.+