Mwanzo 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndugu zake wakamwona akiwa mbali, na kabla hajakaribia wakaanza kumpangia kwa ujanja hila ya kumuua.+ Zaburi 64:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wanaendelea kutafuta mambo yasiyo ya uadilifu;+Wameficha mbinu ya werevu iliyofikiriwa sana,+Na upande wa ndani wa kila mmoja, naam, moyo wake, una kina kirefu.+ Methali 6:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 macho ya majivuno,+ ulimi wa uwongo,+ na mikono inayomwaga damu isiyo na hatia,+
18 Ndugu zake wakamwona akiwa mbali, na kabla hajakaribia wakaanza kumpangia kwa ujanja hila ya kumuua.+
6 Wanaendelea kutafuta mambo yasiyo ya uadilifu;+Wameficha mbinu ya werevu iliyofikiriwa sana,+Na upande wa ndani wa kila mmoja, naam, moyo wake, una kina kirefu.+