Mwanzo 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Utakapoulima udongo, hautakurudishia nguvu zake.+ Utakuwa mwenye kutanga-tanga na mkimbizi duniani.”+ Mwanzo 5:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye akamwita jina lake Noa,+ akisema: “Huyu atatuletea faraja katika kazi yetu na katika maumivu ya mikono yetu yanayoletwa na udongo ambao Yehova amelaani.”+
12 Utakapoulima udongo, hautakurudishia nguvu zake.+ Utakuwa mwenye kutanga-tanga na mkimbizi duniani.”+
29 Naye akamwita jina lake Noa,+ akisema: “Huyu atatuletea faraja katika kazi yetu na katika maumivu ya mikono yetu yanayoletwa na udongo ambao Yehova amelaani.”+