Mwanzo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye akamwambia Adamu: “Kwa sababu uliisikiliza sauti ya mke wako ukala matunda ya mti ambao nilikupa amri+ hii kuuhusu, ‘Usile matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako.+ Kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako.+ Mambo ya Walawi 26:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nazo nguvu zenu zitatumika bure, kwa maana nchi yenu haitatoa mazao yake,+ nao mti wa dunia hautatoa matunda yake.+ Kumbukumbu la Torati 28:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+
17 Naye akamwambia Adamu: “Kwa sababu uliisikiliza sauti ya mke wako ukala matunda ya mti ambao nilikupa amri+ hii kuuhusu, ‘Usile matunda yake,’ udongo umelaaniwa kwa sababu yako.+ Kwa maumivu utakula mazao yake siku zote za maisha yako.+
20 Nazo nguvu zenu zitatumika bure, kwa maana nchi yenu haitatoa mazao yake,+ nao mti wa dunia hautatoa matunda yake.+
18 “Utalaaniwa uzao wa tumbo lako+ na mazao ya udongo wako,+ mtoto wa ng’ombe wako na uzao wa kundi lako.+