Zaburi 127:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ni kazi ya bure kwamba ninyi mnaamka mapema,+Kwamba mnakaa mpaka kuchelewa,+Kwamba mnakula chakula kwa maumivu.+Hivi ndivyo anavyompa hata mpendwa wake usingizi.+ Hagai 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+
2 Ni kazi ya bure kwamba ninyi mnaamka mapema,+Kwamba mnakaa mpaka kuchelewa,+Kwamba mnakula chakula kwa maumivu.+Hivi ndivyo anavyompa hata mpendwa wake usingizi.+
6 Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo.+ Mnakula chakula, lakini hamshibi.+ Mnakunywa, lakini hamlewi. Mnavaa nguo, lakini hakuna yeyote anayepata joto; na yeye anayeajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matundu.’ ”+