Kumbukumbu la Torati 28:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi. Methali 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu aliyelemewa na hatia ya damu ya nafsi atalikimbilia shimo.+ Watu wasimzuie. Hosea 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mungu wangu+ atawakataa, kwa maana hawakumsikiliza,+ nao watakuwa wakimbizi katikati ya mataifa.+
65 Na kati ya mataifa hayo hutakuwa na starehe yoyote,+ wala hakutakuwa na mahali popote pa kupumzika kwa ajili ya wayo wa mguu wako; naye Yehova kwa kweli atakupa huko moyo wa kutetemeka+ na kufifia kwa macho+ na kukata tamaa kwa nafsi.