Kutoka 22:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ikiwa kwa kweli atararuliwa na mnyama-mwitu,+ atamleta awe ushuhuda.+ Hatalipia kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu. 1 Samweli 17:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na Daudi akaendelea kumwambia Sauli: “Mtumishi wako alikuwa mchungaji wa baba yake kati ya kundi, na simba akaja,+ na pia dubu, na kila mmoja akamchukua kondoo kutoka katika kundi.
13 Ikiwa kwa kweli atararuliwa na mnyama-mwitu,+ atamleta awe ushuhuda.+ Hatalipia kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu.
34 Na Daudi akaendelea kumwambia Sauli: “Mtumishi wako alikuwa mchungaji wa baba yake kati ya kundi, na simba akaja,+ na pia dubu, na kila mmoja akamchukua kondoo kutoka katika kundi.