Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 14:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Samsoni akashuka pamoja na baba yake na mama yake, wakaenda Timna.+ Alipofika katika mashamba ya mizabibu ya Timna, tazama! mwana-simba mwenye manyoya shingoni akamngurumia alipokutana naye.

  • Methali 30:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 simba, ambaye ndiye mwenye nguvu zaidi kati ya wanyama na wala harudi nyuma mbele ya yeyote;+

  • Isaya 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana Yehova ameniambia hivi: “Kama simba anavyonguruma, mwana-simba mwenye manyoya shingoni,+ juu ya mawindo yake, wakati hesabu kamili ya wachungaji wanapokusanywa kupigana naye, na ijapokuwa sauti yao yeye haingiwi na woga na ijapokuwa kelele zao yeye hatainama; vivyo hivyo Yehova wa majeshi atashuka ili kupiga vita juu ya Mlima Sayuni na juu ya kilima chake.+

  • Amosi 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Yehova amesema hivi, ‘Kama vile mchungaji anavyonyakua miguu miwili au kipande cha sikio kutoka katika kinywa cha simba,+ ndivyo wana wa Israeli watakavyonyakuliwa, wale wanaokaa katika Samaria kwenye kitanda cha utukufu+ na kwenye kitanda cha Damasko.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki