27 bali iwe ushahidi kati yetu+ na ninyi na vizazi vyetu baada yetu kwamba tutafanya utumishi wa Yehova mbele zake kwa matoleo yetu ya kuteketezwa na dhabihu zetu za ushirika,+ ili wana wenu wasiwaambie hivi wana wetu siku fulani wakati ujao: “Ninyi hamna fungu lolote katika Yehova.”’
12 Demetrio ametolewa ushahidi na wao wote+ na ile kweli yenyewe. Kwa kweli, sisi, pia, tunatoa ushahidi,+ nanyi mnajua kwamba ushahidi tunaotoa ni wa kweli.+