Kumbukumbu la Torati 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao Wahori+ walikaa Seiri nyakati za kale, na wana wa Esau+ wakawafukuza na kuwaangamiza kutoka mbele yao, wakakaa mahali pao,+ kama vile Israeli atakavyoitendea nchi iliyo miliki yake, ambayo hakika Yehova atawapa.) Obadia 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Je, haitakuwa katika siku hiyo?” asema Yehova. “Nami nitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu,+ na utambuzi kutoka eneo lenye milima la Esau.
12 Nao Wahori+ walikaa Seiri nyakati za kale, na wana wa Esau+ wakawafukuza na kuwaangamiza kutoka mbele yao, wakakaa mahali pao,+ kama vile Israeli atakavyoitendea nchi iliyo miliki yake, ambayo hakika Yehova atawapa.)
8 Je, haitakuwa katika siku hiyo?” asema Yehova. “Nami nitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu,+ na utambuzi kutoka eneo lenye milima la Esau.