Kutoka 21:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Naye anayemteka nyara mtu+ na kumuuza+ au ambaye mikononi mwake huyo aliyetekwa amepatikana lazima auawe.+ Nehemia 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+ Matendo 7:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+
16 “Naye anayemteka nyara mtu+ na kumuuza+ au ambaye mikononi mwake huyo aliyetekwa amepatikana lazima auawe.+
8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+
9 Na wale vichwa vya familia wakamwonea Yosefu wivu+ na kumuuza Misri.+ Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,+