Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+ Zaburi 95:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ambaye bahari, aliyoiumba yeye mwenyewe, ni yake+Na ambaye mikono yake mwenyewe iliifanyiza nchi kavu.+
5 Ambaye bahari, aliyoiumba yeye mwenyewe, ni yake+Na ambaye mikono yake mwenyewe iliifanyiza nchi kavu.+