Ayubu 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake. Yeremia 23:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.
15 Kwa habari ya jicho la mzinzi,+ limengojea giza la jioni,+Likisema, ‘Hakuna jicho litakaloniona!’+Naye hufunika uso wake.
24 “Au, je, mtu yeyote anaweza kujificha katika maficho nami nisimwone?”+ asema Yehova. “Je, mimi kwa kweli sizijazi mbingu na dunia?”+ asema Yehova.