Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 20:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+

  • Mwanzo 40:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na wote wawili wakaota ndoto,+ kila mmoja ndoto yake katika huo usiku mmoja,+ kila mmoja ndoto yake yenye tafsiri yake,+ mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliokuwa wafungwa katika nyumba ya gereza.+

  • Ayubu 33:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Katika ndoto,+ maono+ ya usiku,

      Wakati usingizi mzito unapowashika wanadamu,

      Wakati wa kusinzia kitandani.+

  • Danieli 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na katika mwaka wa pili wa ufalme wa Nebukadneza, Nebukadneza aliota ndoto;+ na roho yake ikaanza kuhangaika,+ usingizi wake ukatoweka.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki