3 Baadaye Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto ya usiku, akamwambia: “Tazama, wewe ni kama tu umekufa, kwa sababu ya mwanamke ambaye umemchukua,+ kwa kuwa yeye ni mke wa mwingine.”+
5 Na wote wawili wakaota ndoto,+ kila mmoja ndoto yake katika huo usiku mmoja,+ kila mmoja ndoto yake yenye tafsiri yake,+ mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri waliokuwa wafungwa katika nyumba ya gereza.+