Ayubu 38:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na ni nani aliyeizuia bahari kwa milango,+Iliyoanza kwenda kama katika wakati ilipotoka katika tumbo la uzazi; Methali 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+
8 Na ni nani aliyeizuia bahari kwa milango,+Iliyoanza kwenda kama katika wakati ilipotoka katika tumbo la uzazi; Methali 8:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 alipoiwekea bahari sheria yake kwamba maji yasipite agizo lake,+ alipoiweka misingi ya dunia,+