7 “Usilitumie jina la Yehova Mungu wako kwa njia isiyofaa,+ kwa maana Yehova hatamwacha bila kuadhibiwa yule anayelitumia jina lake kwa njia isiyofaa.+
16 Tega sikio lako, Ee Yehova, usikie.+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, uone, na uyasikie maneno ya Senakeribu ambayo ametuma ili kumdhihaki+ Mungu aliye hai.