Mwanzo 45:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana huu ni mwaka wa pili wa njaa duniani,+ na bado kuna miaka mitano ambayo hakutakuwa na wakati wa kulima wala mavuno.+ Zaburi 41:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+ 2 Wakorintho 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+
6 Kwa maana huu ni mwaka wa pili wa njaa duniani,+ na bado kuna miaka mitano ambayo hakutakuwa na wakati wa kulima wala mavuno.+
41 Mwenye furaha ni mtu yeyote anayetenda kwa kumfikiria mtu wa hali ya chini;+Katika siku ya msiba Yehova atamwokoa.+
10 Basi yeye ambaye humgawia mpandaji wa mbegu kwa wingi na mkate wa kula+ atawagawia na kuwazidishia ninyi mbegu ili mpande naye ataongeza mazao ya uadilifu wenu.)+