Methali 12:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Anayelima shamba lake yeye mwenyewe atashiba mkate,+ lakini anayefuatilia vitu visivyo na thamani amepungukiwa moyoni.+ 1 Timotheo 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+
11 Anayelima shamba lake yeye mwenyewe atashiba mkate,+ lakini anayefuatilia vitu visivyo na thamani amepungukiwa moyoni.+
18 Kwa maana andiko linasema: “Hupaswi kumfunga kinywa ng’ombe-dume anapopura nafaka”;+ pia: “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”+