Yoshua 13:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na zaidi, Musa akalipatia zawadi nusu ya kabila la Manase, nayo ikawa ya ile nusu ya kabila la wana wa Manase kulingana na familia zao.+ Yoshua 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+ Zaburi 77:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Umewakomboa watu wako kwa mkono wako,+Wana wa Yakobo na wa Yosefu. Sela.
29 Na zaidi, Musa akalipatia zawadi nusu ya kabila la Manase, nayo ikawa ya ile nusu ya kabila la wana wa Manase kulingana na familia zao.+
5 Na mpaka wa wana wa Efraimu kulingana na familia zao ulikuwa, ndiyo, mpaka wa urithi wao upande wa mashariki ulikuwa Ataroth-adari,+ hadi Beth-horoni ya Juu;+