Kutoka 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kwa hiyo waambie wana wa Israeli, ‘Mimi ni Yehova, nami hakika nitawatoa chini ya mizigo ya Wamisri na kuwakomboa kutoka katika utumwa wao,+ nami kwa kweli nitawaokoa ninyi kwa mkono ulionyooshwa na kwa hukumu kubwa.+ Kumbukumbu la Torati 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Wao pia ni watu wako na mali yako+ binafsi ambayo ulitoa kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulionyooshwa.’+
6 “Kwa hiyo waambie wana wa Israeli, ‘Mimi ni Yehova, nami hakika nitawatoa chini ya mizigo ya Wamisri na kuwakomboa kutoka katika utumwa wao,+ nami kwa kweli nitawaokoa ninyi kwa mkono ulionyooshwa na kwa hukumu kubwa.+
29 Wao pia ni watu wako na mali yako+ binafsi ambayo ulitoa kwa nguvu zako kuu na kwa mkono wako ulionyooshwa.’+