17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+
14 Na ndipo wana wa Yosefu wakasema na Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umenipa kura+ moja na fungu moja kuwa urithi wangu, ingawa mimi nina watu wengi sana kwa kuwa Yehova amenibariki mpaka sasa?”+
13 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Hili ndilo eneo ambalo mtajigawia kuwa urithi wa nchi ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kukiwa na mafungu mawili ya shamba kwa Yosefu.+