Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 21:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana anapaswa kumtambua mwana wa yule anayechukiwa kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu mbili za kila kitu alicho nacho,+ kwa sababu huyo ndiye mwanzo wa nguvu zake za uzazi.+ Haki ya cheo cha mzaliwa wa kwanza ni yake.+

  • Yoshua 17:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Na ndipo wana wa Yosefu wakasema na Yoshua, wakamwambia: “Kwa nini umenipa kura+ moja na fungu moja kuwa urithi wangu, ingawa mimi nina watu wengi sana kwa kuwa Yehova amenibariki mpaka sasa?”+

  • Ezekieli 47:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Hili ndilo eneo ambalo mtajigawia kuwa urithi wa nchi ya makabila kumi na mawili ya Israeli, kukiwa na mafungu mawili ya shamba kwa Yosefu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki