Mambo ya Walawi 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Mtazishika sheria zangu: Usiwafanye wanyama wako wa kufugwa wa aina mbili wazaane. Usilipande shamba lako aina mbili za mbegu,+ nawe usivae vazi la aina mbili za nyuzi, zilizochanganywa.+ Zaburi 104:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Anafanya majani mabichi yachipuke kwa ajili ya wanyama,+Na mimea ili itumikie wanadamu,+Ili chakula kitokezwe duniani,+
19 “‘Mtazishika sheria zangu: Usiwafanye wanyama wako wa kufugwa wa aina mbili wazaane. Usilipande shamba lako aina mbili za mbegu,+ nawe usivae vazi la aina mbili za nyuzi, zilizochanganywa.+
14 Anafanya majani mabichi yachipuke kwa ajili ya wanyama,+Na mimea ili itumikie wanadamu,+Ili chakula kitokezwe duniani,+