8 Baadaye akaondoka huko kwenda katika eneo lenye milima upande wa mashariki wa Betheli.+ Akapiga hema lake, Betheli likiwa upande wa magharibi, na Ai+ upande wa mashariki. Ndipo akamjengea Yehova madhabahu huko+ naye akaanza kuliitia jina la Yehova.+
2 Basi Yoshua akatuma wanaume kutoka Yeriko kwenda Ai,+ jiji lililo karibu na Beth-aveni,+ upande wa mashariki wa Betheli,+ na kuwaambia: “Pandeni juu, mkaipeleleze nchi.” Basi wanaume hao wakapanda, wakapeleleza Ai.+