Mwanzo 36:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Timna+ akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau. 1 Samweli 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+
12 Naye Timna+ akawa suria wa Elifazi, mwana wa Esau. Baada ya muda akamzalia Elifazi, Amaleki.+ Hao ndio wana wa Ada, mke wa Esau.
2 Yehova wa majeshi amesema hivi,+ ‘Lazima nitoze hesabu+ yale ambayo Amaleki alimfanyia Israeli alipompinga njiani alipokuwa akipanda kutoka Misri.+