2 Samweli 19:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye Barzilai+ Mgileadi akashuka kutoka Rogelimu ili apite mpaka Yordani pamoja na mfalme, apate kumsindikiza mpaka Yordani. Matendo 20:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 kwa sababu waliumizwa hasa na neno alilosema kwamba hawangemwona uso+ wake tena. Basi wakaanza kumsindikiza+ mpaka kwenye mashua. Waroma 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 wakati nitakapokuwa nimeenda Uhispania,+ natumaini, zaidi ya yote, nitakapokuwa safarini kwenda huko, niwaangalie ninyi kidogo nanyi mnisindikize+ kidogo kwenda huko baada ya mimi kutosheka kwa kiasi fulani na ushirika wenu.
31 Naye Barzilai+ Mgileadi akashuka kutoka Rogelimu ili apite mpaka Yordani pamoja na mfalme, apate kumsindikiza mpaka Yordani.
38 kwa sababu waliumizwa hasa na neno alilosema kwamba hawangemwona uso+ wake tena. Basi wakaanza kumsindikiza+ mpaka kwenye mashua.
24 wakati nitakapokuwa nimeenda Uhispania,+ natumaini, zaidi ya yote, nitakapokuwa safarini kwenda huko, niwaangalie ninyi kidogo nanyi mnisindikize+ kidogo kwenda huko baada ya mimi kutosheka kwa kiasi fulani na ushirika wenu.