Mwanzo 31:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha malaika wa Mungu wa kweli akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo!’ nikajibu nikasema, ‘Mimi hapa.’+ Mwanzo 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+ Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.
11 Kisha malaika wa Mungu wa kweli akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo!’ nikajibu nikasema, ‘Mimi hapa.’+
30 Basi Yakobo akapaita mahali hapo Penieli,+ kwa sababu, kama alivyosema, “Mimi nimemwona Mungu uso kwa uso na bado nafsi yangu ikakombolewa.”+
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.