Zaburi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+ Matendo 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 akisema, ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na, tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’
12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+
24 akisema, ‘Usiogope, Paulo. Utasimama mbele ya Kaisari,+ na, tazama! Mungu amekupa wale wote wanaosafiri pamoja nawe.’