4 “Usiseme hivi moyoni mwako wakati ambapo Yehova Mungu wako atawasukumia mbali kutoka mbele yako, ‘Kwa sababu ya uadilifu wangu mwenyewe Yehova amenileta ndani niimiliki nchi hii,’+ ingawa ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya kwamba Yehova anawafukuzia mbali kutoka mbele yako.+