25 Nao watachukua vitambaa+ vya mahema ya maskani na hema la mkutano,+ kifuniko+ chake na kifuniko cha ngozi ya sili+ kilicho juu yake, na kile kisitiri+ cha mwingilio wa hema la mkutano,
17Na ikawa kwamba mara tu Daudi alipoanza kukaa katika nyumba yake mwenyewe,+ Daudi akamwambia Nathani+ nabii: “Tazama, mimi ninakaa katika nyumba ya mierezi,+ lakini sanduku+ la agano la Yehova linakaa ndani ya vitambaa vya mahema.”+