Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Kwa maana kidari cha toleo la kutikisa+ na mguu wa lile fungu takatifu navichukua kutoka kwa wana wa Israeli kutoka katika dhabihu zao za ushirika, nami nitampa Haruni kuhani na wanawe kutoka kwa wana wa Israeli, kama sharti mpaka wakati usio na kipimo.

  • Mambo ya Walawi 10:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nanyi mtakula kile kidari cha toleo la kutikisa+ na ule mguu wa lile fungu takatifu+ katika mahali safi, wewe na wanao na binti zako pamoja nawe,+ kwa sababu vimetolewa kuwa posho lako na posho la wanao kutoka katika dhabihu za ushirika za wana wa Israeli.

  • Hesabu 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 itatukia kwamba mtakapokula mkate wowote wa nchi hiyo,+ mtamtolea Yehova mchango.

  • Hesabu 18:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana ile sehemu ya kumi ya wana wa Israeli, ambayo watamchangia Yehova kuwa mchango, nimewapa Walawi kuwa urithi. Ndiyo sababu nimewaambia, ‘Katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 18:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Sasa hii itaendelea kuwa haki wanayostahili makuhani kutoka kwa watu, kutoka kwa wale wanaotoa dhabihu, iwe ni ng’ombe-dume au kondoo: Mtu atampa kuhani mfupa wa bega na mataya na tumbo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki