5 Na itatukia kwamba watakapopiga pembe ya kondoo-dume, mtakapoisikia sauti ya pembe, watu wote watapaaza kelele kubwa za vita;+ na ukuta wa jiji utaanguka chini,+ kisha watu watapanda, kila mmoja akisonga mbele moja kwa moja.”
14 Nami nitawasha moto kwenye ukuta wa Raba,+ nao utaiteketeza minara ya makao yake, pamoja na sauti ya king’ora siku ya pigano, pamoja na tufani siku ya upepo wa dhoruba.+