2 Mambo ya Nyakati 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa kuwa Yehova alinyenyekeza+ Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa sababu aliachilia mambo katika Yuda,+ nao wakatenda kwa ukosefu mkubwa sana wa uaminifu kumwelekea Yehova.
19 Kwa kuwa Yehova alinyenyekeza+ Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa sababu aliachilia mambo katika Yuda,+ nao wakatenda kwa ukosefu mkubwa sana wa uaminifu kumwelekea Yehova.