27 Mmoja wao alipofungua gunia lake ili ampe punda wake chakula wakiwa mahali pa kukaa usiku,+ akaona pesa zake, na tazama, zilikuwa katika kinywa cha mfuko wake.+
2 Laiti ningekuwa na mahali pa kukaa wasafiri+ katika nyika! Ndipo ningewaacha watu wangu na kwenda mbali nao, kwa maana wote ni wazinzi,+ kusanyiko kuu la wanaofanya hila;+