Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nayo hasira ya Mungu ikaanza kuwaka kwa sababu alikuwa akienda; na malaika wa Yehova akasimama barabarani ili kumzuia.+ Naye alikuwa amepanda juu ya punda-jike wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye.

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Daudi alipoinua macho yake, akamwona malaika+ wa Yehova amesimama kati ya dunia na mbingu, mkononi mwake akiwa na upanga uliochomolewa+ ukiwa umenyooshwa kuelekea Yerusalemu; na Daudi na wanaume wazee, wakiwa wamevaa nguo za magunia,+ wakaanguka kifudifudi mara moja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki