1 Wafalme 21:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+ 2 Wafalme 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+ Zaburi 35:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+
27 Na ikawa kwamba mara tu Ahabu alipoyasikia maneno hayo, akayararua mavazi yake, akavaa nguo za magunia+ mwilini mwake; naye akaanza kufunga, akaendelea kulala katika nguo za magunia, akatembea kwa huzuni.+
19 Na ikawa kwamba mara tu Mfalme Hezekia+ aliposikia, mara moja akayararua mavazi yake,+ akavaa nguo za magunia,+ akaingia ndani ya nyumba ya Yehova.+
13 Lakini mimi, walipokuwa wagonjwa, mavazi yangu yalikuwa ni magunia,+Nikaitesa nafsi yangu kwa kufunga,+Nayo sala yangu mwenyewe ikawa ikirudi kifuani pangu.+