Kutoka 34:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mara baada ya hapo wana wote wa Israeli wakamkaribia, naye akaanza kuwaamuru mambo yote ambayo Yehova alikuwa amesema naye juu ya Mlima Sinai.+ Waroma 2:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana wasikiaji wa sheria sio walio waadilifu mbele za Mungu, bali watendaji+ wa sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+
32 Mara baada ya hapo wana wote wa Israeli wakamkaribia, naye akaanza kuwaamuru mambo yote ambayo Yehova alikuwa amesema naye juu ya Mlima Sinai.+
13 Kwa maana wasikiaji wa sheria sio walio waadilifu mbele za Mungu, bali watendaji+ wa sheria watatangazwa kuwa waadilifu.+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+