Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 36:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 na kumwambia Musa: “Watu wanaleta vitu vingi zaidi kuliko vinavyohitajiwa kwa utumishi kwa ajili ya kazi ambayo Yehova ameamuru ifanywe.”

  • Ezra 2:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 Na watu fulani walio vichwa+ vya nyumba za ukoo wa upande wa baba,+ walipokuja katika nyumba ya Yehova,+ iliyokuwa Yerusalemu,+ walitoa matoleo ya hiari+ kwa nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuisimamisha mahali pake.+

  • 2 Wakorintho 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki