Kutoka 35:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ‘Kutoka katikati yenu toeni mchango kwa ajili ya Yehova.+ Kila mtu mwenye moyo wenye nia+ na aulete ukiwa mchango wa Yehova, yaani, dhahabu na fedha na shaba+ Methali 3:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani+ na kwa matunda ya kwanza ya mazao yako yote.+ 2 Wakorintho 9:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+
5 ‘Kutoka katikati yenu toeni mchango kwa ajili ya Yehova.+ Kila mtu mwenye moyo wenye nia+ na aulete ukiwa mchango wa Yehova, yaani, dhahabu na fedha na shaba+
7 Kila mmoja na afanye kama alivyoazimia moyoni mwake, si kwa kutopenda+ wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu humpenda mtoaji mchangamfu.+