Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nao watafanya Sanduku la mbao za mshita,+ mikono miwili na nusu urefu wake na mkono mmoja na nusu upana wake na mkono mmoja na nusu kimo chake.

  • Kutoka 25:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Nawe utafanya meza+ ya mbao za mshita, mikono miwili urefu wake na mkono mmoja upana wake na mkono mmoja na nusu kimo chake.

  • Kutoka 26:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Nawe utafanya viunzi+ vya mbao za mshita kwa ajili ya maskani hiyo, vinavyosimama mwishoni.

  • Kutoka 27:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 “Nawe utafanya madhabahu ya mbao za mshita, mikono mitano urefu wake na mikono mitano upana wake. Madhabahu+ hiyo itakuwa mraba, na kimo chake kitakuwa mikono mitatu.

  • Kutoka 30:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nawe utafanya miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.+

  • Kutoka 36:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kisha akalifanyia nguzo nne za mshita na kuzifunika kwa dhahabu, vibanio vyake vikiwa vya dhahabu, na kutengeneza vikalio vinne vya fedha kwa ajili yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki