24 Na basi akamfukuza huyo mtu, akaweka upande wa mashariki wa bustani ya Edeni+ makerubi+ na upanga unaowaka ambao ulikuwa unajizungusha-zungusha ili kuilinda njia ya kwenda kwenye ule mti wa uzima.
20 Na makerubi hao watakuwa wamenyoosha mabawa yao kuelekea juu, wakifunika kifuniko hicho kwa mabawa yao, nyuso zao zikielekeana.+ Nyuso za makerubi hao zitaelekea kifuniko.
5 lakini upande wake wa juu palikuwa na wale makerubi+ wenye utukufu waliokifunika kile kifuniko cha upatanisho.+ Lakini sasa si wakati wa kusema kirefu habari za vitu hivyo.