36“Na Bezaleli atafanya kazi, pia Oholiabu+ na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova amempa hekima+ na uelewaji+ wa mambo haya ili kujua jinsi ya kufanya kazi yote ya utumishi mtakatifu kulingana na yote ambayo Yehova ameamuru.”+
37Sasa Bezaleli+ akafanya Sanduku+ la mbao za mshita. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.+
5 Na ile madhabahu ya shaba+ ambayo Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru+ alikuwa ametengeneza ilikuwa imewekwa mbele ya maskani ya Yehova; na Sulemani na kutaniko wakatoa maombi yao mbele yake kama kawaida.