Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 31:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ona, ninamwita kwa jina Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.+

  • Kutoka 35:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kisha Musa akawaambia wana wa Israeli: “Tazama, Yehova amemwita kwa jina Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda.

  • Kutoka 36:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 “Na Bezaleli atafanya kazi, pia Oholiabu+ na kila mtu mwenye moyo wa hekima ambaye Yehova amempa hekima+ na uelewaji+ wa mambo haya ili kujua jinsi ya kufanya kazi yote ya utumishi mtakatifu kulingana na yote ambayo Yehova ameamuru.”+

  • Kutoka 37:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Sasa Bezaleli+ akafanya Sanduku+ la mbao za mshita. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na ile madhabahu ya shaba+ ambayo Bezaleli+ mwana wa Uri mwana wa Huru+ alikuwa ametengeneza ilikuwa imewekwa mbele ya maskani ya Yehova; na Sulemani na kutaniko wakatoa maombi yao mbele yake kama kawaida.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki