8 Na alipokichukua kile kitabu cha kukunjwa, wale viumbe hai wanne na wale wazee 24+ wakaanguka chini mbele ya Mwana-Kondoo, kila mmoja akiwa na kinubi+ na mabakuli ya dhahabu yaliyokuwa yamejaa uvumba,+ na huo uvumba unamaanisha sala+ za watakatifu.