43 Naye Musa akaiona ile kazi yote, na, tazama! walikuwa wameifanya kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. Basi Musa akawabariki.+
2 Nanyi msiongeze kwenye neno ninalowaamuru ninyi, wala msiondoe lolote kutoka katika hilo,+ ili mzishike amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru ninyi.