Kutoka 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+ Yeremia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?
4 Mwishowe Musa akamlilia Yehova, na kusema: “Nitafanya nini na watu hawa? Bado muda kidogo nao watanipiga kwa mawe!”+
12 Wewe ni mwadilifu,+ Ee Yehova, ninapokuletea lalamiko langu, kwa kweli ninaposema nawe hata kuhusu mambo ya hukumu. Kwa nini njia ya waovu ndiyo imefanikiwa,+ kwamba wale wote wanaofanya hila ndio hawana wasiwasi?